Ringtone claims he has no beef with Willy Paul

Controversial Gospel artist Ringtone Apoko has come out to defend his actions of criticizing the behavior of his fellow Kenyan Gospel artistes.

Ringtone who is currently in Tanzania says he feels some of the gospel artistes are going against God by singing ungodly songs in the name of gospel.

Teda Wema hit makers has been on Willy Paul’s case , however he claims he has nothing against him apart from his bad behaviors.

View this post on Instagram

#DizzimNews: Mwimbaji wa muziki wa Injili kutoka Kenya, Ringtone amedai hatua zake za kurekebisha mienendo ya baadhi ya wasanii wa Injili nchini Kenya ni wachache wanaosimama kinyume na nia yake hiyo. Akizungumza na vyombo vya habari nchini Tanzania, Ringtone alieleza kuwa baadhi ya mambo anaohisi kuwa yako kinyume na miongozo ya Dini kwa waimbaji wa nyimbo za Ijili, idadi kubwa ya wakenya Ujitokeza kuwa upande wake. Hata hivyo, Ringtone aliongeza kuwa, hana nia mbaya na msanii yeyote na hana hofu ya kuchukuliwa vibaya kila afanyavyo hivyo kwani anajitengenezea mahusiano mazuri kiimani. Vile vile Ringtone alishasikika Mara kadhaa akionya na kumtaka msanii mwenzake, Willy Paul kuacha kutumia kivuli cha Injili kufanya muziki wenye mizizi sawa na muziki wa kidunia. Written By @PresenterDMike.

A post shared by Dizzim Online (@dizzimonline) on





However he urged Willy Paul to stop singing secular songs in the name of gospel.

It’s not yet known why self -proclaimed chairman of the gospel industry is in Tanzania.

Maybe he has gone there to search for a wife since he has been lamenting how he’s lonely and he needs a life partner.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *