VIDEO: Vera Sidika Admits to Having A Sponsor While Still in Campus

Curvaceous beauty Vera Sidika has admitted to having a Sponsor while she was still a student at Kenyatta University. Speaking to Tanzania’s Kwanza TV, the bootyful beauty has revealed that she met a man during her holidays in Mombasa. The Man was based in Nairobi but they met whenever she returned to the capital Nairobi.

Vera further reveals that the Man was already divorced and older than her.

“Nlitoka Mombasa nkaenda Nairobi nkaingia kwenye modeling industry, ikifika time ya likizo kwenye shule – Kenyatta University, naenda Mombasa. Mombasa ilikua kila December kuna kama beach party hivi. So nlipoenda Mombasa nlipatana na jamaa fulani ambaye alinipenda, kwa beach party fulani nlikua nimeenda na rafiki zangu. Tukazungumza akawa amenipenda, kukaanza kukeep in touch kumbe alikua pia anaishi Nairobi. Mimi sikua najua kuwa ni mtu ambaye anajulikana, ni successful businessman. Lakini alikua kwa situation kwamba he was divorced, kumaanisha alikua amenizidi umri,” said Vera Sidika.

Vera Sidika further says that her lover showered her with good money some of which she saved each and every Friday for one and a half years.

“Alikua akinipa pesa mimi nashtuka, ikafika time after two, three weeks hivi nkasema hizi pesa ambayo ananipa mimi hivi sijazoea. Nikatumia akili yangu nkaanza kusave. Nlimdate huyo mwanaume kama one and a half year. I used to save a lot, kila Friday nlikua naenda kwenye banki. Every Friday for one and a half year nlikua naenda bank kusave pesa zangu maanake alikua ananipa pesa kila wiki,” said Vera.

Vera sidika who is currently dating Singer Otile brown further reveals that they later broke up with the sponsor but is glad she had saved enough money to help her start her life all over again.

“Unajua mwanaume ambaye amekua successful katika biashara anaweza kupata mwanamke yoyote ule, you can’t control him. Ikafika point yani unafikiria akikuacha akienda kufwata mwanamke mwingine inakua normal maanake ana hela. Inafika point wanaume kama hao wanachoka, munadrift apart. Ikafika point tukakua na matatizo fulani ikabidi tumebreak up. Sahio alikua ameniweka katika lifestyle ingine tofauti, lifestyle ambayo nimezoea kunipa kila siku, nkisafiri nko na driver vitu kama hizo,” said Vera.

Watch the full interview below:

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *