Wanamgambo wanaoshukiwa kuwa Al-Shabaab walivamia basi lilolokuwa na abiria katika eneo la Laanfin, katika kaunti ya Mandera mnamo Jumatano asubuhi.
Kulingana na ripoti katika vyombo vya habari, basi hilo lililkuwa likitoka Mandera kuelekea jiji la Nairobi.
MOYALE RAHA bus headed to Nairobi from Mandera attacked by unknown gunmen in Mandera North. pic.twitter.com/aVLW6IjfZh
— NationBreakingNews (@NationBreaking) February 19, 2020
Basi hilo ni la Kampuni ya Basi la Moyale Raha.
Mashambulizi ya awali yamekuwa yakilenga wasio wenyeji wa eneo hilo.
Mengi kufuata…