Uchunguzi wa kifo cha mumewe Ruth Matete umefikia kikomo na chanzo cha kifo chake kimefichuliwa.
Kulingana na ripoti iliyotelewa Aphamisi jioni, Apewajoye ambaye ametoka nchi ya Nigeria aliaga dunia kufuatia kugoma kwa viungo vya mwili baada ya kuchomeka.
Anasemekana alipata majeraha ya Moto baada ya kulipuka kwa gesi ya kupika nyumbani kwao Athi River.