Katibu Mkuu wa wizara ya Afya Mercy Mwangangi amethibitisha kuwa Kenya imeripoti kesi mpya tisa za coronavirus.
Hii sasa inaleta jumla ya idadi ya visa vya Covid-19 hadi 59.
BREAKING: Kenya confirms 9 more coronavirus cases bringing the total number of confirmed cases to 59. Tracing of contacts of the 59 confirmed cases ongoing, says Health CAS Dr. Mercy Mwangangi pic.twitter.com/IcJApNs3H2
— Citizen TV Kenya (@citizentvkenya) March 31, 2020
Mwangangi alisema katika masaa 24 yaliyopita, sampuli 234 zimechambuliwa ambapo tisa zimetokea chanya tarehe Machi 31.
Serikali tayari imewasihi wale waishio Nairobi waache kutumbea vijijini kwani wazee wengi huishi hapo.