Mbunge wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye amempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba na timu yake kwa namna walivyosimamia zoezi zima la mifuko ya plastiki.
Nape ameyaandika hayo katika ukurasa wake wa twitter na kusisitiza kwamba hatua hiyo ni inaonyesha tofauti kubwa kati ya utawala na uongozi.
Namna wewe na wenzako mlivyosimamia swala la mifuko ya plastiki ni mfano tosha wa utofauti kati ya KUONGOZA na KUTAWALA. Hongera sana! pic.twitter.com/hyNc3KLUHE
— Nape Moses Nnauye (@Nnauye_Nape) June 3, 2019
Mbali na Nape, watu mbali mbali ikiwemo viongozi mashuhuri kama Zitto Kabwe na wananchi mbalimbali wamempongeza Waziri Makamba juu ya zoezi zima la mifuko ya plastiki hasa hatua yake ya kuelimisha na kuwahamasisha wananchi bila kutumia mabavu.
Hizi hapa ni tweets za watu mashuhuri na wananchi mbalimbali kumpongeza Makamba;
Some positive news from Tanzania to the world after so long time https://t.co/sxzGqXLlVZ Tanzania bans plastic bags to clean up environment. Congratulations to @SuluhuSamia and @JMakamba for the leadership on this.
— Zitto Kabwe Ruyagwa (@zittokabwe) June 2, 2019
Thank you for leading the way wisely and with compassion! 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽 Endelea tu kusisitiza – zoezi liwe endelevu na la kiungwana na wasiharibu wengine kwa kutumia excessive force!
Utu wetu ndo tunu yetu! #ChangeTanzania— Maria Sarungi Tsehai (@MariaSTsehai) June 1, 2019
Yamekuwepo makatazo mengi sana nchi hii.. Lakini katazo hili la mifuko ya plastiki limefanyika kwa weledi wa hali ya juu mno.. Na imekuwa rahisi wananchi kuitikia. @JMakamba kaonesha mfano, makatazo yaje kwa kuelimishana sio ubabe. Hongrea kwake
— Charls (@CJ_Charls) June 1, 2019
Hongera sana brother @JMakamba , hakika wewe ni kiongozi, umefanikiwa kwa kiasi kikubwa katika kuwashawishi Watanzania kukubali kuachana na Matumizi ya mifuko almaarafu kama Rambo bila kutumia nguvu kubwa ya jeshi la Polisi. You did it, you make it . Hongera #ChangeTanzania pic.twitter.com/vkZwI24VE9
— Kumbusho Dawson Kagine (@KumbushoDawson) June 2, 2019
Hongera sana mh. JM wengi tulisubiri tamko kwamba tunaongeza siku kama ilivo kwa sajir za vitambulisho na simukadi
Ukiweka siasa kando mambo yanawezekana sana.— donkuboja (@donaldkuboja) June 1, 2019
Ongera Mh Waziri mwenye dhamana kuhusu mazingira, suala hili la kuacha kutumia mifuko ya plastic kwakeli Ruangwa-Lindi tumelipokea vizuri.
— Mustafa Singa (@Mustafasinga2) May 30, 2019
Congratulations @JMakamba a new dawn indeed passed by Kariakoo market & every one is not carrying a plastic bag from shops when up to Kisutu Market for veggies still no plastic bags in sight had my potatoes,lettuce & rice packed in no plastic bag very exciting moment in #Tanzania https://t.co/phH92ItYdF
— Petrider Paul (@PetriderPaul) June 1, 2019
Twitter darling @JMakamba taught dictators that "Leaders should not fight for popularity, they have to fight for credibility "#Wameisomahiyo#Imewaingiauzurinainawachomachoma
— RAMLA RAMADHANI (@RamadhanRamla) June 3, 2019
Congratulation @JMakamba, You did the best part, for sure you deserve to be a good leader pic.twitter.com/BnZMQPQeNn
— KING KIRITTA (@KingKiritta) June 3, 2019
A very practical and gradual implementation together with the friendly tone by @JMakamba has inspired many of us to welcome and support this much needed move to protect the environment..Asante na Mungu Akubariki na Abariki Tanzania yetu
— Naasirhussein (@Naasirhussein) June 3, 2019
I was very curious to see how this ban would be implemented. It has been two days only and let me say, this is so far the greatest move ever! @JMakamba Hongera Hon. Minister! What a leader? And what a calm style yet a brilliant approach to make things happen! #TuyatunzeMazingira
— Glorious Oberlin (@gloriousoberlin) June 3, 2019
Once again @JMakamba has proven that maturity has nothing to do with age but the ability to take responsibility.
— Levite 🇿🇦🇹🇿🇿🇼 (@kayz_levite) June 3, 2019
January @JMakamba has shown impressive leadership approach towards the ban of plastic bags. Citizen engagement, awareness, time for transition, convictions, alternatives, team work & continuous learning. No coercion so far. I am very happy today. #CitizenEngagement = success
— Aikande C. Kwayu (@aikande) June 1, 2019
swear was not Makamba fan boy until very recently he’s just not a leader but a visionary…Makamba na team yako You have delivered…Son You have just set a new bar.
— Ahmad Mussa (@thepresidar) June 3, 2019
I am extremely proud of my brother @JMakamba Tanzania Minister of Environment affairs and Union matters for leading my country towards plastic bags ban – which took effect on June 1st under the leadership of our amiable VP @SuluhuSamia https://t.co/Ot1eMDDdnL
— Mwamvita Makamba (@Makambas) June 2, 2019