“Nimekubali” Nandy in mourning

Image may contain: one or more people and people standing

The ‘Aibu’ hitmaker, Nandy, is yet to come into terms with the death of Clouds Media boss, Ruge Mutahaba. Through her Instagram account, she shared several photos which she was with the late Ruge.

In one of the post, she seems to have come into terms that Ruge is way gone and will never come back. She captioned; “Nimekubali.” Its been almost two months sine Ruge was laid to rest.

View this post on Instagram

❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️

A post shared by Nandy (@officialnandy) on

After he passed on, Nandy spent a night on his grave side mourning. She shared a very emotional tribute to him which read; “Kila mtu ana mtu ambaye ameumbwa na MUNGU kwa ajili yake. Na jinsi yakukutana na uyo mtu inaweza ikawa ni ndefu ikawa na matuta mara nyingine inaweza ikakuchosha lakini mwisho wa siku kila kitu kinakuja kuwa sawa..

View this post on Instagram

❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️🙏

A post shared by Nandy (@officialnandy) on

Wanaweza kutokea watu wachache ambao watakuelewa na pia kuelewa ndoto zako hata kama unazifanya mwenyewe.. watakuwa hapo kukupa mrejesho chanya na watakubeba kwenye safari yako kwa moyo wote… Watanzania wanakupenda

Umegusa maisha ya watu kwa namna tofauti tofauti Ulizaliwa kuwa kiongozi Ulikuwa na moyo wakutoa.. Ruge ulikuwa rafiki yangu wa karibu sana, ulikuwa kila kitu kwangu Ruge ulielewa ndoto yangu Ruge ulinipa moyo wa kupambana hata kama nilikua nataka ku give up Ruge uliona ndoto yangu na hukuwa na wasiwasi nayo….

Image may contain: 2 people, people smiling, people standing and indoor

Ulivo pumzika naweza kukuhakikishia…Nitakufanya ujivunie…
Nitaendelea kuzi enzi na kuziishi hekima zako Na nitafanya juhudi kufikia malengo tuliyo panga pamoja.. Nakupenda sana na nitaendelea kukupenda hata kama haupo nasi YOUR THE BEST THING THAT EVER HAPPEN TO ME
ROHO YANGU.. R.I.P.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *