Aliyekuwa mwenyekiti wa Tume ya Kitaifa ya Ardhi Muhammad Swazuri na baadhi ya maafisa wa zamani wamekamatwa.
Polisi wa Tume ya kukabiliana na ufisadi (EACC) waliwakamata maafisi hao kwenye majumba yao asubuhi wa Jumatano.
Maafisa hao wanakabiliwa na shutuma ya ufisadi kutokana na malipo ya ujenzi wa reli wa SGR.
Maelezo zaidi kufuatia…