Revealed, Why Avril and Arrow Bwoy exited King Kaka Empire

‘Kitoko’ hit maker, Avril, and ‘Jango Love’ hit maker, Arrow Bwoy, made an exit from King Kaka Empire recording label. Their reason for exit was unclear. The recording label CEO, King Kaka has revealed during an interview that the two left after their contract expired.

He said; “Arrow na Avril wameondoka na unajua kuna mkataba na hiyo contract iko na timeline na ikifika wakati Fulani tunarelease artiste juu saa zingine ni poa artiste pia a grow kivyake ama labda amove kwa new management na huwa tunaencourge hiyo sana, na tunaambianga msanii akipata kwingine ambapo anaona itambenefit zaidi, asiogope kuongea, sababu kazi ya Kaka empire is not to own people , we are here just to help.

Kama tunaweza kukutoa level hii tukupeleke next level hii, na ukipata namna ya kwenda level mpya hiyo ni furaha yetu. Mi ile siku nitaona ule msanii ashawahi kupita kwa mikono zetu nitafutahi sana. So that’s the motive of Kaka Empire, we give you what we can and we are very happy our artiste ambao tushawahi work na wao and we are wishing them all the best yaaani, we are proud of the steps they are making.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *