Popular American Tpain was forced to end his show after he was hit by a ball during his performance.
Wasafi reports indicate that the Rapper Faheem Rasheed famously known as T pain walked out of the stage after one of his fan from the audience threw a beach ball at him.
Tpain was performing during a concert at Denver Colorado in America.
This move by the fan cut off his hype and he was unable to carry on with the show.
His management tried to convince him to get back on stage but the rapper resisted this move and walked out.
wasafitv
Rapper Faheem Rasheed Najm Maarufu Kama @tpain Alilazimika Kukatisha Show Aliyokuwa Anafanya Baada ya Moja ya Shabiki aliyekuwa Amehudhuria Kwenye Show Hiyo Kumpiga na Mpira (Beach Ball) na Kuenda zake
Katika Show Hiyo aliyokuwa anaifanya huko Denver Colorado Nchini Marekani B’Nai B’Rith Youth Organization (BBYO) #Tpain Alichukizwa na Kitendo hiko na kushindwa kuendelea na Show .
.
Uongozi wa T-Pain Ulijaribu Kumshawishi Arejee kwenye Show na Kuendelea Kuwaburudisha mashabiki ambao walilipia kiingilio lakini ilishindikana na Akagoma kabisa kupiga show tena .
.