Ray C’s message to Wema Sepetu after social media drama

Award winning Tanzanian Musician Ray C has  shared her concern and a warm message of consolation to Wema Sepetu after she landed herself in trouble with the Tanzanian government.

Wema Sepetu had to  face the the Tanzanian Law after she posted inappropriate content on social media.  Although it is not clear on the exact action that has been taken, the Tanzanian law indicates  that anyone who shares  such content may be barred from using social media  until the government pardons them.

Some sources indicated that the Tanzanian sweetheart has been indefinitely locked out of the film industry by the country’s film board.

Ray C has however come out to show her support and assure Wema that all will be fine.

The two have known each other for a pretty long time and she is among the few who have come out to stand with her.

Ray C also shared the first timeshe met Wema Sepetu at the peak of the 2006 Miss Tanzania competitions and when she met her she knew that she would win.

“I love you to date…” she said

“Do not feel sorry and think that yo are the only wrong doer in this world, everyone has their own faults, It is only God who is complete but that is not a reason for us to repeat the wrongs again and again. I love you and I have faith in you. I wish you well in your life  and I wish to see the new Wema Sepetu. Lots of love” Reads post

Nakumbuka 2006 Mange alinipigia Simu akaniambia anakuja nyumbani na mshiriki mmoja atakaeperform wimbo wangu kwenye kipengele cha Vipaji kwenye mashindano ya urembo ya (Miss Indian Ocean)na inabidi tumvalishe kama mimi nikamwambia sawa!walipofika nyumbani Kwangu nilimwangalia wema juu mpaka chini na alivyo mrefu,nikamwambia Mange huyu anashinda Miss Tanzania,nakumbuka alikuwa mwembamba,mrembo na mwenye aibu and I was like Wow!!!!Anyway kiufupi Nakupenda mpaka leo Wema,Maisha ni Kama milima!wewe bado ni mdogo sana na una nafasi ya kuwa utakacho!pamoja na yanayoendelea sasa bado moyo wangu una imani na wewe kuwa utasimama tena zaidi ya juzi jana na leo na Utakua.Never give up!Dunia inaweza kukubadilikia kutoka kuwa kipenzi cha watu na kuwa Public enemy number one!Its normal!!!Its ok!ila kumbuka Familia yako ndio kila kitu!Please usihuzunike ukajiona wewe ndo mkosaji dunia nzima maana kila binadamu ana majanga yake ni Mungu tu ndio mkamilifu ingawa sio sababu ya kutufanya kurudia makosa over and over again!Nakupenda na nina imani na wewe!Nakutakia kila la kheri katika maisha yako na natamani kumuona Wema Mpya.Lots of ?

 

View this post on Instagram

 

Nakumbuka 2006 Mange alinipigia Simu akaniambia anakuja nyumbani na mshiriki mmoja atakaeperform wimbo wangu kwenye kipengele cha Vipaji kwenye mashindano ya urembo ya (Miss Indian Ocean)na inabidi tumvalishe kama mimi nikamwambia sawa!walipofika nyumbani Kwangu nilimwangalia wema juu mpaka chini na alivyo mrefu,nikamwambia Mange huyu anashinda Miss Tanzania,nakumbuka alikuwa mwembamba,mrembo na mwenye aibu and I was like Wow!!!!Anyway kiufupi Nakupenda mpaka leo Wema,Maisha ni Kama milima!wewe bado ni mdogo sana na una nafasi ya kuwa utakacho!pamoja na yanayoendelea sasa bado moyo wangu una imani na wewe kuwa utasimama tena zaidi ya juzi jana na leo na Utakua.Never give up!Dunia inaweza kukubadilikia kutoka kuwa kipenzi cha watu na kuwa Public enemy number one!Its normal!!!Its ok!ila kumbuka Familia yako ndio kila kitu!Please usihuzunike ukajiona wewe ndo mkosaji dunia nzima maana kila binadamu ana majanga yake ni Mungu tu ndio mkamilifu ingawa sio sababu ya kutufanya kurudia makosa over and over again!Nakupenda na nina imani na wewe!Nakutakia kila la kheri katika maisha yako na natamani kumuona Wema Mpya.Lots of ?@wemasepetu

A post shared by RAY C ?? (@rayctanzania) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *