Tahadhari! Mlipuko wa Ebola Tanzania
Serikali imetoa tahadhari kuhusu mlipuko wa ugonjwa wa Ebola nchini baada ya watu 91 kuugua DRC Congo na wengine 50 kufariki dunia…Detail<<
Mamba waua watu Hamsini
Wananchi wameiomba serikali kuwajengea kivuko cha muda kunusuru vifo vitokanavyo na kuliwa na mamba wanapovuka Mto Kikamba…Detail<<
CHADEMA yailima NEC barua
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeiandikia barua Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kikilalamikia kile kilichotokea Korogwe Vijijini…Detail<<
Bobi Wine kufikishwa mahakamani Alhamisi
Uganda. Mbunge wa Kyandondo Mashariki Robert Kyagulanyi ‘Bobi Wine’ anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Kijeshi kwa kumiliki silaha kinyume cha sheria…Detail<<
Zari amfanyia Diamond unyama
Hakuna maneno mengine mazuri unayoweza kuyazungumza kusherehesha tukio la mwanamama Zari alilomfanyia mzazi mwenzake Diamond Platnumz katika sherehe ya bethidei ya mtoto wao, Latifah Nasibu ‘Tiffah Dangote…Detail<<
Ajib azaliwa upya, Zahera anena
Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera, amesifia kiwango cha straika wake Ibrahim Ajib ambacho amekionyesha juzi katika mechi ya Kombe la Shirikisho Afrika dhidi ya USM Alger ya Algeria…Detail<<