Was Diamond’s sister lying, Diamond has no beef with his dad

The bongo musician, Diamond Platinumz has been accused for a while for having a poor relationship with his dad, Mzee Juma Nasib Abdul. His half sister, Zubeida recently accused him of neglecting his dad even at this time that he ailing.

Diamond’s sister Queen Darleen has cleared the air and said that they have a good relationship with their dad. She has denied Zubeida’s allegations that they have forsaken their dad.

She said; ” So juzi tu nimezungumza naye kama week hivi limepita. Unajua mara ya mwisho nimeongea naye baada ya Yule dada wa Kizungu kuja nyumba na kusema kuwa hatumsaidii, lakini ukweli ni kwamba mimi na Mzee Abdul tunaongea vizuri.

Unajua Nasseb na Baba wanawasiliana, lakini yeye ndiye anarushiwa maneno lakini kwa upande mwingine , yeye ndo anahangaika naye sana. Alafu ujua sio eti Mzee hakuwa na pesa, alikuwa na hela zake lakini kazitumia vibaya. So hatuwezi kuforce jamii kuwambia baba yetu sisi tunamfanyia mambo haya na haya, haiwezi kuwa hivyo”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *