Msanii Willy Paul ameshangaza wengi baada ya kufanya wimbo wa ‘Lamba Nyonyo’ ambayo imeleta hali ya sintofahamu.
Wengi wa mashabiki wake ni wale waliompenda akiwa kwa zmiki wa injili lakini Pozze alibadilisha nia ya kusifu Mungu na kujihusisha mambo ya dunia.
Kwa bahati mbaya, mwanamke mmoja amezing’oa chuchu za matiti yake. mwanamke kwa jina la Razor Candi, ameweka picha zake mtandaoni akionyesha matiti yake bila chuchu kitu ambacho kimewapumbaza wengi.
Mwanamke mwenyewe ni wa uzunguni lakini unahisi kuwa wimbo wa Willy Paul umechangia haya?
Haya ni baadhi ya maoni yaliyotolewa na wafuasi wake kwenye mtandao wa Twitter;
I finally did it! I had my nipples surgically removed so I can post on Instagram! Such a beautiful job, can't even see the scars! Think these will fly on Instagram? 😂😂😂 pic.twitter.com/1uqdwT4MXT
— Razor Candi (@RazorCandi_) July 27, 2019
https://twitter.com/zonsofye/status/1155888381831864320
— MOHA-oyabun🇩🇿 (@Moha_Dz7) July 29, 2019
Nipples get more likes.
— Allison Parker (@AllisonParker22) July 30, 2019
ARREGLAO !!! pic.twitter.com/2pM4XE8UA7
— JONTXU (@giradonuts2) July 29, 2019
— PhotochoPP (@photochopeando) July 29, 2019