Mama Hamisa Mobetto goes after Zari’s neck for mocking her daughter

Image result for hamisa

Days after rumors went round that Tanzanian Model cum musician Hamisa Mobetto could not pay rent for her mansion and had to move out, her mum has refute those claims.

Shufaa Rutiginga, Hamisa’ s mum says she saw that house which resembles Hamisa’s ,she also urged her Hamisa’s fans to ignore  the propaganda which was  started by her daughter’s haters.

“Katika nyumba hizo tano wapangaji wengi wanaokuja kuishi hapa ni wazungu, ambao baadhi yao wanafanya kazi kwa mikataba hapa nchini hivyo wakimaliza huwa wanaondoka, na hivyo mmiliki wa hizo nyumba kuwapa kazi madalali kutafuta wapangaji wengine na ndicho kilichoonekana mtandaoni, lakini ukweli nyumba hiyo sio tunayoishi sisi bado tupo sana na ikifika mahali tukitaka kuhama tutafanya hivyo,” alisema mama Mobeto |

Mama Hamisa ‘s revelations comes after Zari Hassan mocked Hamisa about her financial status.

 

View this post on Instagram

 

Shufaa Rutiginga, ambaye ni mama mzazi wa mwanamitindo Hamisa Mobeto, ameongelea kuhusu sakata la nyumba inayodaiwa kuwa wameondoka baada ya kushindwa kulipa kodi. Hivi karibuni katika mitandao ya kijamii picha za nyumba hiyo ya ghorofa moja ziligaa, kuwa madalali wanainadi kwa wapangaji wengine, hali iliyotafsiriwa na baadhi ya wanaofuatilia maisha ya mlimbwende huyo ambaye ni mzazi mwenzie na Diamond Platnumz, kuwa huenda kashindwa kulipa kodi. Akizungumza na Mwananchi, Mama Mobeto alisema hata yeye kaiona nyumba hiyo ikinadiwa mtandaoni na madalali kama walivyoona watu wengine. Amefafanua kwamba kwa kuwa wengi wanaijua nyumba ya Hamisa wamedhani ni yake lakini ukweli ni kwamba zinafanana tu kwani wanapoishi kuna nyumba tano za aina hiyo. “Katika nyumba hizo tano wapangaji wengi wanaokuja kuishi hapa ni wazungu, ambao baadhi yao wanafanya kazi kwa mikataba hapa nchini hivyo wakimaliza huwa wanaondoka, na hivyo mmiliki wa hizo nyumba kuwapa kazi madalali kutafuta wapangaji wengine na ndicho kilichoonekana mtandaoni, lakini ukweli nyumba hiyo sio tunayoishi sisi bado tupo sana na ikifika mahali tukitaka kuhama tutafanya hivyo,” alisema mama Mobeto | TOA MAONI YAKO HAPA

A post shared by Udaku (@udakuchamber_tz) on

 

When Hamisa’s co-baby mama  Zari caught a whiff of the juicy gossip, she jumped in quickly and mocked Hamisa’s alleged money issues.

According to Zari, Hamisa was not bright enough to milk cash from Diamond despite them having a  baby together.

 

View this post on Instagram

 

So rumour has it Hamisa could not pay rent for her mansion and had to move out.

A post shared by Urban News (@urbannews254) on

 

Some times back, Diamond Platnumz confirmed the rumors doing rounds on social media about Hamisa Mobetto’s new mansion. The ‘Iyena’ hit maker confirms he has indeed bought his baby mama a house.

Rumor had it that Hamisa Mobetto moved in a new house with her kids Dylan and Fantasy. Unconfirmed sources indicated that Diamond decided to buy Hamisa the new house after his mother Sanura Sandra kicked her out of Madale home.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *