Habari ya asubuhi mdau wa Opera News Tanzania, Ni siku nyingine tena na tayari tumekushushia hapa magazeti ya siku ya leo.
Ikiwa leo ni January 26, 2023,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania jumapili ya leo. Magazeti mengi yamegusia kile kilichojiri kwenye mkutano mkubwa wa hadhara wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo uliofanyika mkoani Mbeya,