Mwanasiasa wa Kenya Afariki India

Wabunge wa Kaunti ya Kiambu

Mwakilishi wa wadi kwenye kaunti la Kiambu ameaga dunia.

MCA huyo wa Kahawa-Wendani  Cyrus Omondi alipatikana amekufa katika chumba chake cha hoteli baada ya wabunge wa Kiambu kwenda kufanya semina huko India.

Mwakilishi wa wadi ya Witeithie Julius Taki amethibitisha habari hii.

Habari zaidi kufuatia…

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *