Mbunge wa Embakasi ya Mashariki Babu Owino amekamatwa.
Babu Owino alitiwa mbaroi kwa madai ya kupiga risasi kwenye sehemu ya kujivinjari Kilimani, Nairobi.
Mwathiriwa aliyepigwa risasi anaripotiwa kupata majeraha baada ya tukio hilo.
EMBAKASI EAST MP Babu Owino arrested over shooting incident at a club in Kilimani. pic.twitter.com/lWEWkYKyoz
— The Star Breaking (@TheStarBreaking) January 17, 2020
Jamaa huyo alipelekwa kwenye kitengo cha dharura kwenye hospitali moja jijini Nairobi.
Kiini cha tukio hilo bado hakijabainika wazi na jaribio la kumpata kwenye simu halikufua dafu.