I Never Hit on Her! Otile Brown Reveals Vera Seduced Him

Image result for otile and vera

Coastal based musician Otile Brown has shocked many with his recent confession about his past relationship with socialite Vera Sidika.

Otile, who is in another relationship, revealed that Vera was the first one to hit on him.

Speaking during an interview with Wasafi TV, Otile revealed that he never dreamed of being in a relationship with Vera, adding that she was the one stalking him.

“Kuna kitu watu wajui, mimi sikuwai mtongoza Vera, she reached out yeye ndio aliniapproach alinipigia sana nlipokuwa nikifanya ngoma ya changuo langu, alikuwa akinipigia lakini sikuwa na shika simu zake,SV mimi sikuwai mtamani,”he said.

OB went on to say that after he ignored her calls, Vera went on to call his manager.

“Sikuwai mtamani kwa sababu ni msichani sikuwai mstock,sikuwai kumtamanni kimapenzi na sikuwai fikiria nitakuwa kwa mausiano na yeye, alianza kupigia manager wangu alikuwa anampigia sana alipiga kama siku tatu,,ili watu wajue mimi sikuwai mtogonza yeye ndio alianza hiyo relationship.”

Image result for otile and vera

Changuo la Moyo hitmaker went on to explain that Queen V approached him because she is an ambitious woman and that she saw his potential and that’s how they started their relationship.

“Mimi sisemi uwongo wala sitaki kumwaribia, kila mtu anajua vile relationship yetu ilikuwa, na mambo mengi yalitendeka sitaki kuweka wazi, Vera is an ambitious woman yeye ni hustle aliona potential kwa dogo,ila nilitusiwa sana na wakenya,” he disclosed.

“I just wanted to keep this clear am a gentle man and kuna vitu zengine mtu hafai kusema ila nilikuwa nmewekewa lawama”.

Otile also disclosed that his relationship with Vera elevated his career to the next level because of her being one of the biggest socialite in Africa, adding that the breakup drama really broke up his heart.

“Hii kitu ilielevate my career to the next level but what do you expect, am dating the biggest socialite in Africa watu wanapenda drama na relationship lakini mwisho wa siku nlikuwa natengeneza hela,i appreciate her for coming,” he said.

“The break up and whole relationship  broke my heart,na sai nimekuwa makini sana kwenye relationship mausiano mingi huisha vibaya sijui mbona,nimejifunnza mengi kutokana na hiyo mausiano”.

Here is the full interview

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *