Tanzanian Singer Ruby Finally Addresses Claims of Affair With Diamond

Image may contain: 2 people, people smiling, people standing
Ruby and her alleged lover

Tanzanian musician Ruby spoke for the first time about her alleged love affair with her fellow musician Diamond Platnumz.

Addressing the issues of how she has suffered in the hands of her baby daddy, she took to Instagram and said that he is the one who started the accusations of her having an affair with Diamond after connecting the two for business affairs.

She is the type of celebrity who prefers keeping her love affairs in private though she once introduced a man to her fans who was alleged to be her lover.

“Nimejitahidi kwa uwezo wangu kukuunganisha na kaka yangu @diamondplatnumz mwisho wa siku unishushie makofi natembea nae ukuishia apo unayasambaza na ya mtu tunae eshimiana @juma_jux kusema natembea nae,” she said.

Image may contain: 1 person
Ruby

She seems to have been going through tough times with the said man and decided to gain her courage to address the issue publicly maybe she would be of help to fellow victims.

Her baby daddy has been beating her and neglecting her rights as a woman. Their relationship started when she decided to act as a breakthrough in music industry for him.

“Nimepitia vipigo, manyanyaso, fedhea, kudhalilushwa na kuitwa majina yote kutoka katika kinywa na mikono ya mwanaume ambae alikuja kwangu kutaka support ya kimuziki ila unajua tena love doesn’t ask why?” she said.

“Nilijitolea kumpa support na kuonesha uma kuwa Nina muamini na Nina imani na kipaji chake ila ili hali kuna msemo unasema mwana kulitaka mwana kulipewa.”

 

View this post on Instagram

 

Nimekuwa nikijiuliza niseme ama nionge kwa nani ila katika hizi dhama lazima kusema ukweli wenda nayopitia ama niliomaliza kupitia yanampata binti wa kike mwenye umri kama wangu au zaidi yangu ila tu amekuwa kifungoni kwa kasumba yakuonekana mbaya kama taswira ilivyo kwa watu wengi kuwa wanawake huwa tunazingua sana. Nimepitia vipigo, manyanyaso, fedhea, kudhalilushwa na kuitwa majina yote kutoka katika kinywa na mikono ya mwanaume ambae alikuja kwangu kutaka support ya kimuziki ila unajua tena love doesn’t ask why? Nilijitolea kumpa support na kuonesha uma kuwa Nina muamini na Nina imani na kipaji chake ila ili hali kuna msemo unasema mwana kulitaka mwana kulipewa; Nimekuwa nikitumia ata jina langu ili dogo kumpambania na kumtambulisha kwa wasanii waliondelea ila mwisho wa siku Nimekuwa nikiambulia vipigo na kuitwa majina ambayo mengine siwezi yaandika kwasababu kuyasema ni kuweka kumbukizi Katika tamati ya maisha niliyomuomba Mungu anipe muongozo na anioneshe njia iliyo bora zaidi. Ukiangalia baada ya kila jambo niliamini labda yataisha na mwenzangu kubadilika ila aikuwa kama nilivyotegemea. Despite kujitoa kwa familia yangu na yake na kuwa mbele kwa kila jambo lake ata kutumia kidogo changu kumpush kwa njia tofauti ila bado aikuwa na mantiki kwake. Mimi ni binti mdogo ambae Nina vision na maisha mbele yangu siwezi katishwa tamaa na jambo lolote linaloendelea na yanayofanywa na baba mtoto wangu kwasababu nimeamua kufikia tamati laasha ningemshauri muda huo anaotumia kuyasema ya uongo angetumia kumuombea mtoto wake akuwe katika njia zimpendezayo Mungu kwasababu kwa kumuangalia sintotaka kumpa mzigo huo kwasababu binafsi anajua nilivyopambana kwake na familia kiujumla ila kwa anayofanya nakuombea Mungu akupe amani ya Moyo. Nimejitahidi kwa uwezo wangu kukuunganisha na kaka yangu @diamondplatnumz mwisho wa siku unishushie makofi natembea nae ukuishia apo unayasambaza na ya mtu tunae eshimiana @juma_jux kusema natembea nae. Hii kama mtoto wa kike inaniharibia taswira mbele ya jamii yangu na watu wanaoniangalia kama kioo ili hali ni chuki tu na kutokujitambua kunafanya mtu anaamua kuunda na magroup kusambaza stori hizi ili nionekane mbaya. INAENDELEA…..

A post shared by Official Ruby 🇹🇿 (@iamrubyafrica) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *