Rose Muhando Reveals Why She Converted From Islamic to Christianity

Image result for rose muhando

Veteran Tanzanian gospel artist Rose Muhando has for the first time disclosed her past life before getting into music.

Apparently,growing up, Rose was a Muslim but circumstances made her to convert to Christianity.

Speaking during an interview, Rose disclosed that her dad was a respected Sheikh who raised all his kids according to Islamic teachings.

Adding that at some point in her childhood, she was stroked by a strange illness on her head which produced a foul smell.

“Mimi ni mtoto wa mwisho kwetu ,babangu alikwa Sheikh mkuu na tulilelewa kwenyi dini ya Kiisilamu, tuliishi katika sheria ya kiislamu na torati nliipenda sana dini yangu,”she revealed.

“Lakini kuanzia mwaka wa themanini nna tisa niliuguwa mwaka mzima nnliteseka sana hadi sikueza kenda  shule nlikuwa nimevimba kitu kwenye kichwa kilikuwa kikitoa maji machafu yenye harufu mbaya”.

Image result for rose muhando

Rose disclosed that she was taken for prayers to witch doctors but she could not be cured making her giving up in life.

However, when she was sleeping, she saw a bright light with a hand coming inside her room she heard a voice telling her that “Am Jesus Christ I have healed you get Up and serve me” immediately she felt healed.

“Nilipelewa kila pahali kuombewa hadi kwa waganga ikashindikana basi wazazi walicho wakaniregesha nyumbani kugojea kifo”.she disclosed.

“Siku moja nliambia wazazi wangu waniwache nilale peke yangu juu niliona na kufa nasikutaka wanione nikifa, lakini nilipo kuwa nikilala niliona mwanga kutoka mbinguni ikija mahali nlipo kwenye ule mwanga kulitokea mkono na sauti ukisema mimi ni Yesu nimekuponya amka ukanitumikie, iyo sauti ilisema mara tatu alafu iyo mwanga ukaniacha pole pole”.

Related image

After she was back to her feet, she continued hearing the strange voice  which made her uncomfortable .

“Babadaye nilijiangalia nikajiona nikosawa, tena mwaka wa tisini ule sauti ukanitokea tenna ikisama mimi ni Yesu nimekuponya amka ukanitumikie,”she said.

“Iyo sauti nilizidi kuisikia ata nikienda madrasa sikuwa na furaha, baadaye niambia babangu mzazikuna ile sauti niliisikia mara ya kwanza bado  inajirudia hadi na shinndwa kusoma”.

Converting to Christianity

Rose went ahead to narrate that she shared with one of their Christian neighbors about the strange voice who advised her to get baptized and change her religion.

Kiatu Kivue hitmaker added that after she converted to Christianity she started singing in the church choir.

Niliambia jirani wetu kuwa kuna hii sauti naisikia akaniambia Yesu anakupenda nikamwambia anipeleke kwa Yesu akaniambia nafaa kubatizwa na kubadilisha Dini.

Niliambia babangu naenda kubatizwa na ntabadilisha dini akaiambia sawa nikabatizwa nikaitwa Rose kisha nikaanza kuimba kanisani.

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *