Huu ndio ukweli! Weezdom afichua jinsi Mr. Seed alijihusisha na kashfa ya ngono

Image result for mr seed

Kambi la injili humu nchini limekumbwa na kashfa nyingine ya ngono  na udanganyifu, huku Mr. Seed akiwa mhusika mkuu.

Shabiki mmoja alitokea na kuonyesha jinsi baba wa mtoto mmoja alishiriki nae ngono kwenye makaazi yake ya Roysambu.

Kwa mujibu wa taarifa ya sauti iliyotolewa kati yake na msanii aliyesainiwa na Mr. Seed, Ndume, mwanadada huyo anakubali kuwa hajui mambo yangezidi unga kwa vile yeye alikwenda tu mahali pake akijaribu kupata ushauri jinsi ya kuendeleza kazi yake ya filamu.

Aliongezea kuwa Mr. Seed alimshawishi kushiriki naye ngono jambo ambalo hakuliona kama kubakwa.

Hali nzima imetoa taswira mbaya kwa mziki wa injili na cha kutia doa zaidi ni baada ya Ndume kukubali kumkumbuka na kumwambia asithubutu kutoboa hiyo siri.

Kwa namna fulani katika kashfa nzima, msanii wa injili Weezdom alijipata katikati mwa skendo hii kwa madai kuwa hawafahamiani vizuri na Mr. Seed na kinaweza kuwa ni chanzo cha kumharibia jina.

Image result for weezdom kenya

Kwa bahati mbaya, Weezdom hakushawishika na madai hayo na cha kushangaza ni kwamba alikuwa amekirekodi mahojiano yake na Mr. Seed sawia tu na ile ya Gavana Sonko.

Pia alionyesha kuwa tofauti kati yao iliyoonekana tu ilianza baada ya Weezdom alijaribu kuingilia kati na kumshauri Seed juu ya njia ya kufanya ili hiyo shida imwondokee.

“Kuna habari ambazo zinasambaa kwamba Mr. Seed alifanya kitendo cha ngono na mwanadada mmoja bila idhini yake na kama ndugu, nilimwambia ajue vile kushughulikia jambo hili kabla kuharibike jambo. Mr. Seed alikubali kwamba alimjua mwanadadalakini hakuishughulisha kumtafuta ili waongelee suala nzima. Baadaye alikuja kukabiliana na mimi lakini kwa bahati nzuri nilikuwa nimerekodi mahojiano yetu kwa namna ile tu wangesema nimewaharibia siri zao,” aliandika Weezdom.

 

View this post on Instagram

 

Today I’m a sad guy, but I chose to relax because the anger of a man does not produce the righteousness of God (James 1:20). So leo nimekua napigiwa simu na bloggers ati Mr Seed na wife yake wanasema nalipwa niwaharibie jina and that’s why I CHOSE TO COME OUT WITH THE TRUTH because I’m still a growing artist and it’s not fair for someone to go around tarnishing my name. So let me share with you the real truth. So there’s a story that has been going round that Mr Seed allegedly slept with a certain lady without her consent and as a brother I approached him to tell him to know how to handle the situation before things get worse. Mr Seed accepted that he knew the lady but unfortunately he did not bother to look for her to sort the issue. He later confronted me (Lucky enough I recorded the conversation just incase things turn against me as is the case right now) TO NIMOH: You’ve been coached kusema nimelipwa niwaharibie jina (the first voice call attached is going round in whats app groups & blogs) That is Mr Seed’s Friend NDUME who was in the house the day this lady visited. So mkipigia blogs mnamaanisha ni mimi nilileta huyo dem kwa nyumba or I’m responsible for what happened in your absence? Implicating me in this is SO WRONG! Kindly sort your own issues out. If my mistake was telling a friend to try and sort out an issue that involved him, then my bad. Siko interested na kutrend mimi nataka tu kuimbia tu Mungu 🙏

A post shared by Weezdom 🇰🇪 (@weezdommusic) on

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *