Kauli ya Zitto kuhusu Makamba

Kiongozi wa chama cha upinzani cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amempongeza Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, January Makamba kutokana na utekelezaji wake wa majukumu.

Kabwe aliandika hayo katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa twitter ambapo amesema, ni siku ya pili tu lakini kuna tofauti kubwa ya namna ya utekelezaji anaoufanya Makamba.

Mbali na hayo, Zitto ameushutumu utendaji wa Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi Luhaga Mpina kutokana na umaskini wa wavuvi na kudai kwamba angekua na utendaji kama wa Makamba kusingekua na umaskini.

Tazama Tweets za Zitto hapa chini:

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *