Ray C eulogize the late media mogul Reginald Mengi

Celebrated Tanzania musician Rehema Yusuph Chalamila popularly known as Ray C has joined the rest of the world to mourn the sudden death of Tanzania billionaire and media mogul Reginald Abraham Mengi.

According to the reports,Mengi died at the age of 75 while receiving treatment in Dubai.

Though he had been visibly weakened and slowed by a mild stroke he had suffered less than a year ago, when Dar es Salaam-based businessman and philanthropist.

In a long instagram post, Ray C praised the late mzee Mengi for his noble heart, she went to describe him as a person who gave freely to the causes dear to him, he was good people.

Mzee alifanya mengi sana kwa walemavu Tanzania!mnaweza msielewe lakini kila mwaka alikuwa anaandaa siku ya kula na walemavu!hiyo ndo ilikuwa furaha yake mzee Mengi!Tuliomjua kitambo tunaijua roho yake

View this post on Instagram

Mzee alifanya mengi sana kwa walemavu Tanzania!mnaweza msielewe lakini kila mwaka alikuwa anaandaa siku ya kula na walemavu!hiyo ndo ilikuwa furaha yake mzee Mengi!Tuliomjua kitambo tunaijua roho yake!mbali na kuwa bosi wetu lakini pia alikuwa mtu mpole sana....Nakumbuka kuna siku nilipokuwa nafanya kazi East Africa Radio!Nilikoroga mambo!wakati namaliza kipindi nilisahau kuweka audio vault iendelee kupiga mziki mpaka asubuhi maana kipindi kile kipindi changu kilikuwa kinaisha saa saba za usiku baada ya hapo tunaweka computer inapiga mpaka asubuhi sasa mimi sikuweka nyimbo za kutosha ikafika katikati ya usiku computer ikazima!kwahiyo radio ikawa kimya mpaka asubuhi (naamini kuna mtu alienda kurekebisha lakini ingawa tayari mi nilisharudi nyumbani usingizi fofofo!sasa bwana niliporudi kesho yake si nikakuta kibarua sina wacha nianze kulia getini😭😭Nakumbuka baada ya hapo kuna mwandishi alinihoji kuhusu kufukuzwa kazi ipp media nikamuelezea ukweli wote kilichotokea nashukuru aliandika ukweli wa kilichotokea!baadae Marehemu Mutie mtoto wa marehemu alinipigia simu akaniambia baba amefurahi umeongea ukweli na amesema kama ukitaka kurudi East Africa Radio muda wowote nakupa kazi!bahati nzuri nilikuwa tayari nimepata kazi radio nyingine kwahiyo tukaendelea kuwa marafiki wa karibu tu ila hii familia ndio iliyonipa kazi yangu ya kwanza nikiwa mdogo sana na kamwe sitokuja kuisahau mpaka naingia kaburini!Labda mzee mengi na marehemu mwanae mutie wasingeamini uwezo wangu kwenye radio labda hata Ruge asingeskia sauti yangu kama ni nzuri na asingenifungulia dunia kwenye bongo flava!ALHAMDULILLAH ❤❤❤😢#Maumivuyamwakahuuyamezidi #Mungutusaidiewotetunaopitiamaumivuhaya #alhamdullilah❤🙏🙏🙏🙏🙏 #RESTINPEACEBABA😢

A post shared by Rehema Yusuph Chalamila 🇹🇿 (@rayctanzania) on

Mengi’s remains arrived at Julius Nyerere International airport on an Emirates flight. Hundred mourners including relatives and friends gathered at the airport’s terminal to receive him.


Mengi argued, correctly, that a body that is funded by the taxpayer should not do political work for the government of the day, but that rather it should serve all sections of society.

Mengi will be remembered by many for his tireless efforts to help the needy, not only because he gave generously, but also, and especially, because he popularized causes that had not been talked about before.

It is likely that Tanzanians will remember this soft-spoken man, not for the amount of money he gave to charity, but for the rich heart that made him give gladly. Let’s all fete him, for Reginald Abraham Mengi was good people.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *