Condolences, Tanzania is mourning the death of a renowned celebrity

Ruge Mutahaba , who was the co – founder and programs director of Cloud Media Group has died while receiving treatment at South Africa. He has died battling kidney failure for almost six months.

President John Pombe Magufuli and retired President Jakaya Kikwete led Tanzanians in mourning the sudden demise of Mr. Mutahaba. President Magufuli wrote; ”Nimepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha kijana wangu Ruge Mutahaba.

Daima nitamkumbuka kwa mchango wake mkubwa ktk tasnia ya habari, burudani, na juhudi za kujenga fikra za maendeleo kwa vijana. Poleni wanafamilia,ndugu,jamaa na marafiki. Mungu amweke mahali pema, Amin.”

Retired President Kikwete wrote; ”Nimelemewa! Nakosa maneno ya kuelezea huzuni na majonzi niliyonayo kwa kifo cha Ruge Mutahaba. Taifa limepoteza kijana wake mahiri, mbunifu na mzalendo wa kweli.

Nimepoteza rafiki, mshirika mwaminifu na mtu ambaye amenisaidia kwa mengi katika uongozi wangu na hata baada ya kustaafu. Moyo wangu uko pamoja na wazazi wake, ndugu zake na familia yake katika kipindi hiki kigumu. Namuombea kwa Mola ampe Mapumziko Mema Peponi.”

The late Mutahaba was the force behind Tigo Fiesta one of the biggest entertainment concerts that happens yearly. He was also the founder of Tanzania House of Talent popularly known as THT. Celebrities have taken to social media to mourn his death.



Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *