Yai la Godzila? Laendelea Kuduwaza Japa

Wakaazi katika mji wa Hamamatsu nchini Japani wanashangazwa na mpira wa ajabu wa mita 1.5 ambao…

Urusi yawa nchi iliyowekewa vikwazo zaidi duniani

Urusi sasa ndiyo nchi iliyoadhibishwa zaidi duniani, ikiwa na vikwazo 14,081 kwa watu binafsi na mashirika…

Ubalozi wa Urusi Ujerumani Wachafuliwa

Ubalozi mdogo wa Urusi mjini Bonn uliripoti kitendo cha uharibifu kilichofanywa kwenye lango la jengo hilo…

Kiongozi wa Chama cha Ufaransa Apuuzia Hotuba ya Biden

Kiapo cha Rais wa Marekani Joe Biden kutetea “uhuru” nchini Ukraine kilikuwa ni propaganda tupu, kiongozi…

Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Denmark Ashtakiwa kwa Kuvujisha Siri za Nchi

  Waziri wa zamani wa Ulinzi wa Denmark Claus Hjort Frederiksen alisema Jumanne kwamba mwendesha mashtaka…

EU Haijapata Mabilioni ya Urusi

EU haikupata akiba ya Benki Kuu ya Shirikisho la Urusi kwa euro bilioni 300, ambayo walitaka…

Wabunge Waridhia Urusi Kujiondoa Kwenye Mkataba wa Silaha

Siku ya Jumatano, wabunge wa Urusi waliidhinisha mswada uliowasilishwa na Rais Vladimir Putin, ambapo Moscow itasitisha…

Wawili wafungwa jela Urusi kwa Hujuma Ukraine

  Mahakama nchini Urusi imewahukumu wanaume wawili kifungo cha miaka mitatu na miezi sita kila mmoja…

EU InaisHIWA Vikwazo dhidi ya Urusi

  Mijadala ya Umoja wa Ulaya kuhusu adhabu mpya inayolenga Urusi imekuwa changamoto zaidi kwani Umoja…

Rudisheni Pesa Zetu- Uturuki yaiambia Marekani

Ankara inatarajia kurudishiwa pesa zake baada ya Marekani kuiondoa katika mpango wake wa kisasa wa ndege…

Jimmy Carter Kutibiwa Nyumbani

  Rais wa zamani wa Marekani Jimmy Carter atapata huduma ya hospitali nyumbani badala ya kuendelea…

Vikwazo vya EU Vinavyoiumiza Hungary

Vikwazo vilivyowekwa na EU dhidi ya Urusi kutokana na operesheni yake ya kijeshi nchini Ukraine vimegharimu…

‘Wakoloni Wanatuomba Tuwe Maadui wa Urusi’ — Uganda

Uganda haitakubali shinikizo kutoka kwa wakoloni wa zamani wa nchi za Magharibi kugeuka dhidi ya Urusi,…

Korea Kaskazini ni ‘Adui Wetu’

  Ni mara ya kwanza katika kipindi cha miaka 6 ambapo Seoul imetumia neno hilo, iliyochapishwa…

Marekani Yaitaka Ulimwengu Kuionya China

Nchi zote zinapaswa kuionya Beijing dhidi ya mzozo kuhusu kisiwa hicho, mwanadiplomasia mkuu wa Marekani alisema,…

Ukraine Wajifunze Kutumia Risasi Kiuchumi- Uingereza

Waziri wa Ulinzi wa Uingereza Ben Wallace alisema kuwa jeshi la Ukraine linahitaji kujifunza jinsi ya…

“Ulaya inapaswa kuungana na Urusi” -Belarus

  Rais wa Belarusi alitoa ushauri kwa viongozi wa Ulaya siku ya Alhamisi, akisema “chaguo bora…

Israeli Yaahidi Mkopo kwa Ukraine – Lakini Sio Silaha

  Waziri wa Mambo ya Nje Eli Cohen alifanya ziara ya kwanza rasmi nchini Ukraine baada…

Kuanguka kwa Dola kunakuja

Mwandishi na mwanauchumi maarufu Robert Kiyosaki amewaonya wawekezaji kwamba masoko ya hisa yanakaribia kuporomoka na uchumi…

Marekani Inaifundisha Ukraine Kutumia Risasi Chache

  Waziri wa Ulinzi wa Marekani Lloyd Austin aliwaambia waandishi wa habari siku ya Jumanne kwamba…

Mataifa Mawili Ulaya Yakataa Kutuma Mizinga Kwa Ukraine – Vyombo vya Habari

Uholanzi na Denmark hazitatuma vifaru vyao vya vita vya Leopard 2 vilivyoundwa Ujerumani nchini Ukraine, gazeti…

Hatuwapi Silaha za Masafa Tunazihitaji – Marekani yaiambia Ukraine

  Utawala wa Biden umeripotiwa kuiambia Ukraine kuwa haitatuma makombora ya masafa marefu yanayotakiwa na Rais…

Syria & Uturuki; Utafutaji wa Uokoaji Waingia Saa za Mwisho

  Huku idadi ya waliofariki ikipita 35,000 katika nchi zote mbili, timu za utafutaji zinasema juhudi…

Wabunge Wamtisha Mkuu wa Kanisa Kukubali Ushoga

Mkuu wa Kanisa la Anglikana alisema kwamba wabunge walimtisha katika jaribio la kulazimisha ndoa za watu…

Poland Yaonya Urusi Kushinda Ukraine

Rais wa Poland Andrzej Duda amesema kuwa Urusi inaweza kushinda mzozo wa Ukraine ikiwa serikali ya…

Ukraine Inaishiwa na Silaha

Mapigano makali nchini Ukraine yanamaanisha kuwa jeshi lake linaishiwa na risasi huku akiba hazijaongezwa kwa wakati,…

Wabunge Marekani Waichoka Ukraine

Wabunge wa GOP wameanzisha azimio linalotaja gharama kubwa kwa walipa kodi, hatari ya kutifuana na Moscow,…

Kampuni ya Elon Mask Yawatibua Ukraine Kutumia StarLink kwa Vita

  Ukraine imekiuka makubaliano yake na kampuni hiyo, kulingana na Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo Gwynne…

Uharibifu Tetemeko la Ardhi Wafikia Tirioni 8

  Uharibifu wa jumla wa matetemeko ya ardhi nchini Uturuki utazidi kwa mbali dola bilioni 4…

Waliobadili Jinsia Wapata Mtoto – India

Ukistaajabu ya Musa, yaone haya ya India..! Mwamba aliyekuwa mwana kawa pisi na huku pisi nayo…