Mbosso forced to apologize after his performance during a top Tanzanian event

PHOTO/COURTESY

WCB Artist Mbosso was today forced to apologize to his fans after his performance during a top Tanzanian awarding ceremony which went down on the 23rd February 2019.

The Singer was performing during the Sinema Zetu International Film Festival.

Mbosso in a long instagram post told his fans he was sorry saying that he might have not given the best performance last night.

Image result for mbosso

PHOTO/COURTESY

The WCB star was among the headlining artists and he explained that there might have been factors that contributed to his under performance.

Mbosso says that he had prepared himself to give the best show but some circumstances might have affected his delivery.

The artist says that some of the challenges he encounters in his music career is; complication with his voice or failure of the sound system.

Related image

PHOTO/COURTESY

Mbosso says that he is human and sometimes it can be tough to give 100%.

He however says that he loves his music career and he hopes that his fans will forgive him so that he may work towards improving his career.

Have a look at his post

Image result for mbosso

PHOTO/COURTESY

mbosso_

“Neno pekee ambalo leo hii linanizunguka Kichwani na naweza kulitamka kutoka kinywani Kwangu ni Neno “SAMAHANI” .. Neno samahani, neno nisamehe au neno naomba Radhi .. Yalikuja ili tuweze kuyatumia kwa kila anayekosea au Kumkwanza mwenzake, iwe Baba, Mama , Kaka , Dada, rafiki, Mfanyakazi Mwenzako , Mpenzi wako au Boss Wako ., “ila leo hii neno hili nitalitumia kwa Mashabiki waku wapendwa ambao sikuwahi kuwaangusha hata Siku moja au Mara moja ila Kwa mara ya kwanza pengine jana niliwakwanza kwa namna moja au nyingine .. “NAOMBA RADHI kwenu Wadau na mashabiki wa mziki wangu, NAOMBA RADHI kwa wote ambao jana Pengine niliwaumiza kutoka na mapenzi yenu kwangu ..ila Kazi yangu inachangamoto nyingi ,Kuna Kupoteza Sauti (Kukauka) , Kufeli kwa Ufungaji wa sound Upande wa ma engineer au hata Kufeli kwa baadhi ya Vifaa vya mziki na Moniter za Stage kukosa kujisikia Kwa Mtumbuizaji ..” Hii huleta Mawasiliano mabovu baina ya msanii na Vyombo .. ” Wallah Natamani Mujue ni kiasi gani nilikuwa nimejiandaa kwa ajili Ya Kuburudisha nafsi zenu…” Natamani Mujue ni kiasi gani huwa najitahidi Kupambana ili kufanya kila kilicho kizuri kwenu ..
“Naipenda Sana kazi yangu na hata siku moja sikuwahi kuwaangusha , ila Kwenye mapungufu Yoyote yaliotokea jana .. Naomba radhi sana kwenu … Mimi Binadamu Siwezi Kila siku kufanya kitu kikawa sawa kwa asilimia 100 , “na kinachonitia uoga zaidi Mimi si kitu mbele yenu Nyinyi ambao leo hii mmenifanya Kuwa hapa ..” hivyo naumia nikijua nimewakosea ..😭
“Ajali ya kazi hutokea sehemu yoyote Duniani .. “Naomba radhi kwenu, Munisamehe kwa hili iliniweze kufuta makosa na kupata nguvu yakuendelea kufanya kazi kwa umakini zaidi ” 😭🙏

View this post on Instagram

"Neno pekee ambalo leo hii linanizunguka Kichwani na naweza kulitamka kutoka kinywani Kwangu ni Neno "SAMAHANI" .. Neno samahani, neno nisamehe au neno naomba Radhi .. Yalikuja ili tuweze kuyatumia kwa kila anayekosea au Kumkwanza mwenzake, iwe Baba, Mama , Kaka , Dada, rafiki, Mfanyakazi Mwenzako , Mpenzi wako au Boss Wako ., "ila leo hii neno hili nitalitumia kwa Mashabiki waku wapendwa ambao sikuwahi kuwaangusha hata Siku moja au Mara moja ila Kwa mara ya kwanza pengine jana niliwakwanza kwa namna moja au nyingine .. "NAOMBA RADHI kwenu Wadau na mashabiki wa mziki wangu, NAOMBA RADHI kwa wote ambao jana Pengine niliwaumiza kutoka na mapenzi yenu kwangu ..ila Kazi yangu inachangamoto nyingi ,Kuna Kupoteza Sauti (Kukauka) , Kufeli kwa Ufungaji wa sound Upande wa ma engineer au hata Kufeli kwa baadhi ya Vifaa vya mziki na Moniter za Stage kukosa kujisikia Kwa Mtumbuizaji .." Hii huleta Mawasiliano mabovu baina ya msanii na Vyombo .. " Wallah Natamani Mujue ni kiasi gani nilikuwa nimejiandaa kwa ajili Ya Kuburudisha nafsi zenu…" Natamani Mujue ni kiasi gani huwa najitahidi Kupambana ili kufanya kila kilicho kizuri kwenu .. "Naipenda Sana kazi yangu na hata siku moja sikuwahi kuwaangusha , ila Kwenye mapungufu Yoyote yaliotokea jana .. Naomba radhi sana kwenu … Mimi Binadamu Siwezi Kila siku kufanya kitu kikawa sawa kwa asilimia 100 , "na kinachonitia uoga zaidi Mimi si kitu mbele yenu Nyinyi ambao leo hii mmenifanya Kuwa hapa .." hivyo naumia nikijua nimewakosea ..😭 "Ajali ya kazi hutokea sehemu yoyote Duniani .. "Naomba radhi kwenu, Munisamehe kwa hili iliniweze kufuta makosa na kupata nguvu yakuendelea kufanya kazi kwa umakini zaidi " 😭🙏 #Nipepee @sinemazetu103 @azamtvtz

A post shared by Mbosso (@mbosso_) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *