Tanzanian model-cum-socialite Hamisa
The mother of two, who called it quits on her spontaneous relationship with Diamond, stated her current financial situation while being interviewed by Cloud TV:
“Kuna watu wanapenda kusema kwamba labda huyu amegeuza watoto wake mtaji ndio maana labda amezaa na wanaume ambao labda wana uwezo wa kifedha. Labda amegeuza kwamba kuzaa yeye ni kama sehemu flani yeye kujipea kipato sipendagi sana hio kauli. Kwa sababu mimi nilikuwa najiweza vizuri tu na pia wasichana wadogo especially wale ambao wanatuangalia sisi wanakuwa wanadhani kwamba ni njia hapana.”
Moreover
“Mimi nataka tu watu wajue kwamba sio kwamba imetokea nimezaa na watu ambao wanajiweza basi nimegeuza kwamba ndio njia ya kujirahisishia maisha kwa sababu vitu vingi ambavyo ninavyo katika maisha yangu ni kazi zangu mwenyewe na pato langu mwenyewe sijapewa na mwanaume yeyote.”