Hamisa Mobetto denies claims that she is a ‘sponsor’ girl

Diamond’s baby mama, Tanzanian star vixen Hamisa Mobetto has denied reports that she lives off sponsors. She denied the accusations towards her in an interview that she has accrued her wealth from sponsors and by using her child as a cash cow.

She explained; ”Kuna watu wanapenda kusema kwamba labda huyu amegeuza watoto wake mtaji ndio maana labda amezaa na wanaume ambao labda wana uwezo wa kifedha. Labda amegeuza kwamba kuzaa yeye ni kama sehemu flani yeye kujipea kipato sipendagi sana hio kauli. Kwa sababu mimi nilikuwa najiweza vizuri tu na pia wasichana wadogo especially wale ambao wanatuangalia sisi wanakuwa wanadhani kwamba ni njia hapana.

She insists that she has her own life and businesses which cater for her expenses and lifestyle; ”Mimi nataka tu watu wajue kwamba sio kwamba imetokea nimezaa na watu ambao wanajiweza basi nimegeuza kwamba ndio njia ya kujirahisishia maisha kwa sababu vitu vingi ambavyo ninavyo katika maisha yangu ni kazi zangu mwenyewe na pato langu mwenyewe sijapewa na mwanaume yeyote.”

Hamisa conceived Diamond’s baby way before Diamond broke with Zari Hassan. The affair between Diamond and Hamisa resulted in a child when he was producing the song “Salome,” during this time it so happened that Zari was out in South Africa for her regular business duties.

Hamisa Mobetto has gained enormous fame on her modeling and vixen roles. Her reputation grew even more when she featured in Diamond’s song “Salome”.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *