“It has been a year now since I was signed under WCB” Mbosso celebrates his anniversary

 

WCB artist Mbosso is today celebrating his first anniversary since he was signed under Wasafi Record Label.

The artist has been in the industry for a while and for him, the signing into Wasafi was one of the greatest achievements in his music career.

Mbosso has grown in talent and his music is now appreciated in different parts of the globe.

 

When he started his career, things might not have been easy for him and what seemed like a great fall after the Yamoto Band split propelled him to a greater course.

Mbosso started his journey as a solo artist last year after he was signed under the record label and his contribution in the music industry is massive.

The Singer has managed to win hearts with his music in East Africa and beyond.

Mbosso took this day to thank his fans and the WCB family for holding his hand and getting him where he is today.

Here is his full message

 

View this post on Instagram

 

Ilikuwa siku kama ya leo Tarehe 28 January Mwaka jana 2018 , Sauti iliyopotea kwenye masikio ya watu takribani Mwaka mzima ilirudishwa rasmi na Familia ya @wcb_wasafi Baada ya kuniitambulisha rasmi kama mwanafamilia mpya na nikaanza rasmi safari yangu ya mziki Kama Solo ARTIST.., Ni Mwaka Sasa naweza sema ” Heri ya kuzaliwa Kwa Mziki wangu”.., “Asante Mwenyezi Mungu, Asanteni Viongozi wa @wcb_wasafi , Wasanii na Wafanyakazi wenzangu kwa Ujumla , Asanteni wote muliojitokeza siku ya Utambulisho na wale ambao hamkupata nafasi ya kuwepo pia , Asante Wadau na Mashabiki mulio niamini na mukaamua kunisapot kuanzia hii Siku hadi leo … “Mungu awabariki sana na azidi kuwapa nguvu zaidi za kuendelea kunisapot Mtoto wenu.. ” Nasisitiza Musiache kunisapot Mtoto Kijana wenu … “Mimi si kitu bila ya nyinyi” ? “Nishauri au niambie Chochote katika Siku yangu hii ya kuzaliwa kwa mziki wangu ” ..Huenda neno lako likawa muongozo mzuri kwangu Kwa Mwaka 2019 na kuendelea … “HAPPY BIRTHDAY MBOSSO KHAN’S MUSIC “

A post shared by Mbosso (@mbosso_) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *