‘Kill them with Kindness’ Victoria Kimani silences Nyakundi

 

PHOTO/COURTESY

When the pressure is too much, when you want to keep off from heated immature conversations, best advice is that you kill them with kindness and this is exactly how Victoria Kimani  calmed  the storm.

Victoria Kimani has finally responded to criticism from  blogger Cyrian Nyakundi and I can say that this is the most mature way to end the battle of the Presidents.

The past two days were dominated by throwing of stones online between Singer Akothee and Blogger Cyprian Nyakundi.

Nyakundi had sent out a message attacking Victoria Kimani  and called her names.. leading to Akothee jumping to the defense of her new found friend by savagely attacking the blogger.

PHOTO/COURTESY

Out of pressure, Nyakundi yesterday responded to Akothee saying that the trolling was not addressed to her and that was not her business.

 “Mimi I was just giving that malaya of Naija men some advice.”  ranted Nyakundi in his yesterday post.

Kimani however sent out a message of peace saying that she had no clue who the blogger was before the attack. She also added saying that she is glad to have known Nyakundi online.

Victoria Kimani also insisted that the blogger should love her and respect her as well as respect her life hustles.

“Cyprian Nyakundi Sikuwahi kukujua, mpaka uliponitaja mimi na mmoja wa marafiki zangu wa karibu Akothee.
Lakini nafurahi kujuana na wewe mtandaoni. Kunijua, ni kunipenda, na pia ni kuniheshimu mimi, na juhudi zangu za kimaisha.” reads Kimani’s post in part

PHOTO/COURTESY

Victoria Kimani also was kind  enough to say that she will not speak savagely about Nyakundi’s family because he probably knows the pain that comes with it.

Kimani also added that she has never had a sugar daddy and she does not criticize those who have. The Singer revealed that the bloggers message was a disgrace to women and heart breaking.

Mashairi yangu, yanawapa wanawake motisha, na naongelea chnagamoto tunazopitia Maisha yetu kama wanawake. Dhana uliyoileta kwetu, ni za kiubaguzi kwa wanawake, ni za kukera, na kutia kichefu chefu, na zinavunja moyo.Nimeongea katika jukwaa la umoja wa mataifa (United Nations) kuhusu umuhimu wa wanawake kua na sauti katika jamii yetu.Na fanya kazi kwa bidi, sijawahi kuwa na sugar dady, na siwahukumu wanaofanya hivo. DNaomba, nafunga , na naweka nguvu zangu zote katika muziki wangu, na napenda ninachokifanya. Siko hapa kukudhalilisha, bali niko hapa kukuinua.  she said

 

What are your thoughts on Victoria Kimani’s reactions?

 

View this post on Instagram

 

Nitakua mwanamke wa aina gani kama kama sita ongea mambo yanayo tuumiza sisi kisaikolojia,kiroho na kimwili.Mtazamo wa jamii yetu kwa wanawake unahitaji kubadilika. Kuanzia wauguzi wakike, wafanyi kazi wa nyumbani, waalimu, wafanyi biashara, wanasiasa, waburudishaji, wamiliki wa biashara, matajiri wanawake, maskini wanawake, wamama, madada.. watoto wakike, na hata mtoto wa kike akiwa tumboni mwa mamake….. Kulingana na watu wachache wenye akili finyu, wanawake wote wako sawa!! Mbona usinihukumu kwa matunda ya kazi yangu, au kwa mienendo ninayo-ionyesha katika Maisha ya kila siku? Mbona usinihukumi kwa hilo badala ya kunihukumu kwa maovu?? Hata mwenyezi mungu, ambaye mwanawe Yesu Christo, aliwaambia wanaume waliotaka kumtupia yule mwanamke Malaya mawe , ya kwamba; “asiye na dhambi, miongoni mwao, awe wa kwanza kutupa jiwe! Athari za kutowaheshimu, wanawake tunaowajua, na tusiowajua, ni kwamba tunaifundisha jamii, nama ya kuwachukulia dada zaka, na mamako! Sitatukana family yako, wala watu unaowapenda, kwa sababu, nina uhakika unafahamu uchungu wake! Je, unafahamu kwamba, mimi ni mtoto wa mtu, dadake mtu, na kama kioo cha jamii, kuna wanawake wengi, ambao, wananiangalia kama kielelezo kwao? Natumia muziki wangu kuhamasisha mabadiliko katika kizazi changu na kizazi kinachokuja. Mashairi yangu, yanawapa wanawake motisha, na naongelea chnagamoto tunazopitia Maisha yetu kama wanawake. Dhana uliyoileta kwetu, ni za kiubaguzi kwa wanawake, ni za kukera, na kutia kichefu chefu, na zinavunja moyo. Nimeongea katika jukwaa la umoja wa mataifa (United Nations) kuhusu umuhimu wa wanawake kua na sauti katika jamii yetu. Na fanya kazi kwa bidi, sijawahi kuwa na sugar dady, na siwahukumu wanaofanya hivo. DNaomba, nafunga , na naweka nguvu zangu zote katika muziki wangu, na napenda ninachokifanya. Siko hapa kukudhalilisha, bali niko hapa kukuinua. Cyprian Nyakundi Sikuwahi kukujua, mpaka uliponitaja mimi na mmoja wa marafiki zangu wa karibu Akothee. Lakini nafurahi kujuana na wewe mtandaoni. Kunijua, ni kunipenda, na pia ni kuniheshimu mimi, na juhudi zangu za kimaisha. Namtakia kila anayesoma huu ujumbe Amani na Furaha! #NOTFORSALE VIDEO OUT TOMORROW ! Respect the Woman.

A post shared by victoriakimani (@victoriakimani) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *