Medical treatment in India gives Hawa new hope

PHOTO/COURTESY

Hawa of Nitarejea has successfully undergone her medical surgery in India and the doctors believe that she will be well. Already, according to a report given by Babu Tale the stomach which was at her ailing point swollen has began to contract.

Earlier last week, Babu tale who accompanied  Hawa to India, had stated that the two arrived in India safely and all medical assessments  had already been done.

According to the specialists, by 95% they have not identified any problem linked to her liver but instead, her heart is what was causing her body to be filled with fluid.

PHOTO/COURTESY

Hawa underwent the surgery and her recovery  is promising, as revealed by the specialists.

In a post that was shared yesterday, Babu Tale, revealed that Hawa had already woken up after the surgery was done; ‘God willing, she is expected to travel back to Dar es salaam Tanzania after one and a half weeks” reads post

Babu Tale gave hi thank to Tanzanian artist Diamond Platinumz who was generous to give/ contribute to the funding of the treatment among other things. He also thanked the doctor who has been helpful to them in terms of Hawa’s treatment.

PHOTO/COURTESY Babu Tale and Hawa

Asante Mungu mgonjwa amemaliza salama ivi amesha zinduka na madaktari wametupa uhakika wa mgonjwa atakua salama na mpaka ivi sasa tumbo limeshaanza kupungua na Mungu akipenda baada ya wiki moja na nusu ataruhusiwa kurudi Dar. Hii niatua kubwa sana na mtihani unamkuta kila binadamu na mwenye kuutatua ni Mungu mwenyewe niwashukuru wote mlioweza kumuombea dua Hawa mpaka apa alipo na pia niendelee kuwaomba msiache kuomba dua@diamondplatnumz mdogowangu napenda sana unavyokua na roho ya kutoa ila kaa ukijua hii umeweka na Mungu atakupa kwa njia nyingine. Leo acha niseme tu huyu dada @shailaraveendranametusaidia na nikikwambia nimemjulia tu kupitia instagram na alikua ananiambia anauzoefu wa miaka 32 kwenye kazi ya udakitari niliona kama anataka kuniibia tu ila mwisho wa siku ndiye aliyesaidia kila kitu na ajaniomba hata mia hii yote ni mipango ya Mungu kulifanya jambo kua jepesi. Naomba niombeeni ruhusa kwa @sallam_sk na @mkubwafellatmk nirudi dar maana nimesha maliza walichonituma ili niweze kuwahi Wasafi festival

 

View this post on Instagram

 

Asante Mungu mgonjwa amemaliza salama ivi amesha zinduka na madaktari wametupa uhakika wa mgonjwa atakua salama na mpaka ivi sasa tumbo limeshaanza kupungua na Mungu akipenda baada ya wiki moja na nusu ataruhusiwa kurudi Dar. Hii niatua kubwa sana na mtihani unamkuta kila binadamu na mwenye kuutatua ni Mungu mwenyewe niwashukuru wote mlioweza kumuombea dua Hawa mpaka apa alipo na pia niendelee kuwaomba msiache kuomba dua @diamondplatnumz mdogowangu napenda sana unavyokua na roho ya kutoa ila kaa ukijua hii umeweka na Mungu atakupa kwa njia nyingine. Leo acha niseme tu huyu dada @shailaraveendran ametusaidia na nikikwambia nimemjulia tu kupitia instagram na alikua ananiambia anauzoefu wa miaka 32 kwenye kazi ya udakitari niliona kama anataka kuniibia tu ila mwisho wa siku ndiye aliyesaidia kila kitu na ajaniomba hata mia hii yote ni mipango ya Mungu kulifanya jambo kua jepesi. Naomba niombeeni ruhusa kwa @sallam_sk na @mkubwafellatmk nirudi dar maana nimesha maliza walichonituma ili niweze kuwahi Wasafi festival

A post shared by Hamisi Taletale (@babutale) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *