‘She Wasn’t Pregnant,’ Family of Late Comedian Shock Mbosso After Announcement

Wasafi Records Singer Mbosso has suffered a big blow after the family of the late famous Tanzanian stand-up comedian Boss Martha refuted claims of him fathering Martha’s Kid.

According to Martha’s elder sister Pendo, she (Martha) has never given birth and that Hodari hitmaker should respect the family and stop spreading fake news.

“Martha hana mtoto na hajawai beba mimba, namsihi Mbosso atuwache tumalize msiba salama”she said.

 

 

Mbosso’s Claim

Hours after the news of Martha’s death blew the internet,  Mbosso took to his Instagram page and disclosed that he had been in a relationship with the comedian a few years ago which resulted in a baby.

“Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe ndani ya Miaka Mitano (5) liyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu ‘najijua kifua cha Kuficha Siri sina..’ , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia, iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..’ Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu..,

Boss Martha

“Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ”..” ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha .
“Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ‘ jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , “Innalillah Wainnailaih Raajuun ” ..’ Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ‘ Lala salama Martha 🙏” He wrote.

 

 

View this post on Instagram

 

Licha ya Vipingamizi Vingi juu ya Mimi kuwa na Wewe takribani au ndani ya zaidi ya Miaka Mitano (5) iliyopita, hatukuacha kuonyeshana ni kiasi gani tulikuwa tunahitajiana sana kwenye Safari yetu ya maisha , Japo jitihada zetu hazikuweza kufanikisha Mimi na wewe Kuwa Pamoja .., ila mbegu tuliyoipanda vuno letu ulichagua Liwe siri baina yangu Mimi na wewe.., sikukubishia japo Mwazoni nilikukatalia kwa sababu ‘najijua kifua cha Kuficha Siri sina..’ , ila nikakuahidi sitadiriki kuitoa Popote na hata waliotuhisi tulikuwa tunawakatalia.., iwe Faragha au mbele ya hadhira tulitamka Sio Kweli, Hapana, Hakuna Kitu Kama hicho..’ Hayo ndo yalikuwa Majibu Yetu.., “Sasa Umeondoka bila kunipa ruksa juu ya hili Je, niendelee kuitunza hii siri .., na Je, anavyoendelea Kukua akija kuniuliza na nikwambia Mama alisema uwe siri atanielewa Kweli ”..” ?.. Wallah Moyo wangu unauma Martha , hukupaswa kuondoka wakati huu, Mapema mno Dah ..!! “Nenda Martha Mwingi Furaha na Ucheshi , Hata Mama Kasema Leo Msiba..:, ‘ jana ulikuwa unatabasamu hadi ulipofumba Macho , “Innalillah Wainnailaih Raajuun ” ..’ Mwenyezi Mungu akupe Kauli thabiti inshaallah.., ‘ Lala salama Martha 🙏 #RIPMARTHA #LALASALAMAMARTHA

A post shared by Mbosso (@mbosso._) on

 

Before her death, not even once did Martha disclosed that she has Mbosso’s child.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *