Rapa wa injili Holy Dave alilazimika kumtupiaa maneno makali shabiki mmoja aliyemdihaki baada ya kuweka kwenye mtandao kuwa anahitaji msaidizi wa kibinafsi.
Holy Dave ambaye ni ndugu wa Joey Muthengi, alitangazia mashabiki wake kuwa anataka msaidizi wa kibinafsi amabaye anaweza kumsaidia kwa mambo ya vyombo vya habari na biashara.
HOLY DAVE is looking for a PA!
The individual should:
1. Be decent
2. Have a good command of English
3. Be aggressive
4. Be flexible to work in diff industries i.e Media, Business, Non-profit Industry & AcademiaSend your CV to info@holydave.co.ke by 21st!#IkoKazi #IkoKaziKe
— Holy Dave (@holydave) June 17, 2019
Ujumbe huo haukuenda sawa na matarajio baada ya mmoja wa mashabiki kusema kuwa yeye ata hana pesa ya kununua gari aina ya Prado na itakuwa ngumu ata kulipa msaidizi.
You can't even afford a Prado..how will you manage to pay a P A? Shame on you https://t.co/RAIuqQyrzE
— Silvester Were (@SilvesterWere1) June 17, 2019
Holy Dave alishindwa kujizuia na akajipata anamjibu shabiki wake kwa maneno ya kukejeli.
“Utawahi kununua prado wewemwenyewe ukikaa tu na kuchukia ukibonyeza vidude vya simu yako? Inaonekana hauna kazi. Hata hivyo naelewa uchumi mbaya humu nchini na kaz ambazo hazipatikani. Njoo nikupe kazi, tutajitahidi pamoja tununue Prado.”
Will you ever purchase a Prado yourself if you just sit behind your keyboard and hate on people. 🤔 Seems you are too idle. However, I understand the tough times and the rate of unemployment in Kenya. Come I give you a job. We can work hard together and afford to buy a Prado! 🤣 https://t.co/6kUQPyGg3j
— Holy Dave (@holydave) June 17, 2019