Siku ya kuadhimisha Baba ya mwaka huu imekuja na kwenda, lakini tunaishereheea kila wakati baba zetu na wanaochukua jukumu la baba kwa kukima matakwa ya familia zao.
Mastaa mashuhuri humu nchini hawakuachwa nyuma kwenye siku kuu hii iliyoadhimishwa siku ya Jumapili 16 Juni 2019.
Siku ya Baba ni sherehe ya baba, dhamana za baba, na jinsi baba wanaovyochangia katika kukuza jamii. Kutoka Bahati hadi DJ Mo, haya ni baadhi ya ujumbe mzuri zaidi ulioachwa kwa baba mtandaoni;
View this post on Instagram
Yeah I really liked this trike. (Bike? Trike? Yeah?) Happy Fatherβs Day. β€οΈ