Renown Politician claims she’s behind Harmonize fame

Related image

Renown  media personality cum politician  Jokate  Mwegelo who is also the District Commissioner for Kisarawe has revealed that she’s behind  Wasafi’s singer Harmonize fame at Kisarawe district.

Speaking during an event organized by Harmonize at Kisarawe district, Jokate revealed that she always use Harmonize’s songs during all her village meetings.

Jokate also added that Kwangwaru hit maker produces songs with messages.

Image result for jokate mwegelo

“Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wilayani kwangu wampende Harmonize, Sasa hivi wimbo ambao tunaupenda ni Kainama na Kwangaru, Na sio unafiki sisi nyimbo zake tunazitwanga sana, maana yake ukiingia field lazima upige muziki kidogo. Sisi Kwangwaru, Kainama na hii Never Give Up tunaisikiliza kwa sababu inaamsha.” amesema DC Jokate.

 

View this post on Instagram

 

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mhe Jokate Mwegelo ameeleza kuwa yeye ndiye aliyefanya watu wengi wa Kisarawe wampende msanii Harmonize pia wapende kazi zake. Akizungumza na mwandishi kwenye futari iliyoandaliwa na Harmonize Wilayani Kisarawe, Mhe Jokate emesema kuwa amekuwa akitumia nyimbo za Harmonize kwenye matukio ya kijamii “Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wilayani kwangu wampende Harmonize, Sasa hivi wimbo ambao tunaupenda ni Kainama na Kwangaru, Na sio unafiki sisi nyimbo zake tunazitwanga sana, maana yake ukiingia field lazima upige muziki kidogo. Sisi Kwangwaru, Kainama na hii Never Give Up tunaisikiliza kwa sababu inaamsha.” amesema DC Jokate. Hakumaliza hapo Mhe amemshauri msanii Harmonize aoe pia amemkaribisha kuwekeza Wilayani Kisarawe. . . . #MbagalaYetu #TagNaWanao #MaajabuYanaendelea😎

A post shared by MbagalaTelevision (@mbagala_tv) on

 

Harmonize who’s real name is Rajab Abdul Kahali is a musician, songwriter and dancer.He is signed under Wasafi music label which is under Diamond Platnumz leadership.

He started his music career in 2011. His first recordings did not hit. In 2015, he met Diamond Platnumz. His first song “Aiyola” was commercially successful. He won three awards from WatsUp TV,AFRIMMA and AEA USA (in the US).

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *