Dogo Janja opens up on his relationship with Nandy

Celebrated Tanzanian singer  Abdulaziz Chende popularly known as Dogo Janja has for the first time open up on his relationship with his  fellow artiste Faustina Charles aka Nandy the African Princess.

Dogo Janja revealed that he and Nandy are best friends  adding that Nandy’s family trust him when he is around her.

Image result for dogo janja and nandy

“Nandy ni rafiki wangu wa dhati ata nikiwa naye popote pale familia yake huwa na amani”.

Dogo went ahead to narrate how he knew Nandy way back before she started doing music adding that she is like a sister to him.

“Nandy ni mshikaji wangu tangu zamani sana. Nakumbuka tangu hajaanza muziki wala kushiriki yale mashindano ya kuimba ambayo yalimtoa (Tekno Own Stage) yaliowahi kufanyika nchini Kenya na Nigeria. “Ujue damu zetu zinaendana sana na ni mtu ambaye hata familia zetu zinafahamiana. Leo Nandy atakuja kwetu na mimi hivyohivyo kwao kwa hiyo hata nikiwa naye popote familia yake inakuwa na amani kabisa,” alisema Dogo Janja.

 

View this post on Instagram

 

MSANII wa Bongo Fleva, Abdulaziz Chende ‘Dogo Janja’ amefichua siri yake na msanii mwenzake, Faustina Charles ‘Nandy’ kwa kusema kuwa akiwa naye popote pale familia yake huwa na amani. Dogo Janja aliyazungumza hayo leo katika mahojiano na kipindi cha Bongo 255 kinachoruka kupitia +255 GLOBAL RADIO ambapo alisema kuwa, alijuana na Nandy kabla hata hajaanza muziki. “Nandy ni mshikaji wangu tangu zamani sana. Nakumbuka tangu hajaanza muziki wala kushiriki yale mashindano ya kuimba ambayo yalimtoa (Tekno Own Stage) yaliowahi kufanyika nchini Kenya na Nigeria. “Ujue damu zetu zinaendana sana na ni mtu ambaye hata familia zetu zinafahamiana. Leo Nandy atakuja kwetu na mimi hivyohivyo kwao kwa hiyo hata nikiwa naye popote familia yake inakuwa na amani kabisa,” alisema Dogo Janja. Mbali na hilo, Dogo Janja pia alimuongelea msanii wa Bongo Fleva, William Lyimo ‘Billnass’ ambaye alidaiwa kutoka na Nandy kipindi cha nyuma kuwa akimuonea wivu atashangaa sana. “Billnas hata akihisi kitu chochote kibaya kwangu mimi na Nandy atakuwa ni mtu wa ajabu sana. Ngoja nikwambie kitu, nikiwa na Nandy hakuna chochote kibaya kinaweza kutokea kati yetu,” aliongeza Dogo Janja

A post shared by Udaku (@udakuchamber_tz) on

Here is one of  Dogo Janja  hit song.

Dogo Janja is one of the most stylish young Tanzanian rapper causing ripples in the industry with hits such as Banana, UkivaajeUnapendeza, Ngarenaro and Yente. The Dar es Salaam resident began his career in music in 2009 and has always been on a roll.

 

 

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *