Tanzanian activist claims death of Billionaire Mengi was planned

Image result for mengi and jacqueline

The death of media mogul Reginald Mengi has taken a different twist after decry from his family.

Mengi was on Thursday reported having died in Dubai of an illness not released to the public.

Activist and socialite Mange Kimambi, on her Instagram post, has alleged that she is acting on Mengi’s family approval to address his death.

Image result for mengi in hospital

Mengi left behind a wife, Jacqueline Ntuyabaliwe, who doubles up as former miss Tanzania 2000 and also an artist.

The two got married in 2015 and have twins.

Image result for mengi and jacqueline

According to Mange Kimambi who confirmed to be acting on the family’s tip-off, Jacqueline and Mengi went to Zanzibar during Easter holiday but she told her husband that the children did not enjoy and they need to go to Dubai.

Last week, they took off to Dubai and the family spokesman revealed that Jacqueline never goes on a vacation without taking two house helps but this time around she failed.

Image result for mengi and jacqueline

Kimambi continue to reveal that a few days ago, Jacqueline’s sister called the family of Mengi saying that Mengi had been taken to the hospital and that they needed money as a guarantee in the hospital.

She also revealed that after the money was sent to Dubai, she lied that the husband was okay and yet he was in ICU.

Related image

Mengi’s siblings had to go to Dubai to check on him after Jacqueline had switched off her phone but luckily they had the name of the hospital.

They found the hospital and the patient was in ICU, they panicked when they were told that Mengi will not survive.

To their astonishment, Jacqueline did not appear in that hospital until late in the evening.

Image result for mengi and jacqueline

After a long post on Instagram, Mange Kimambi said that the family believes that Jacqueline had a hand in the death of her husband so that she could inherit his wealth which was written as 50 percent of all assets.

View this post on Instagram

Ni hivi mambo hayakuwa as rosy as Jacky alivyoyaweka kwenye mitandao hizi last few weeks. . . Basi bwana story iko hivi, During Easter Jacky, Mengi na watoto walienda Znz for holiday. Jacky akamwambia watoto hawajafurahi wanataka kwenye Dubai. Ndo last week wakaenda Dubai. Mtoa habari wa familia akasema kuwa Jacky hasafirigi hata siku moja bila mahousegirl wawili au mmoja ila this time alibeba watoto tu na yeye na mzee. A few days ago dada wa Jacky alieko Dar akapigia simu familia ya Mengi akasema jacky kampigia anasema yeye alikuwa kwenye room yake na watoto akamsikia Mengi kaanguka in another room kampeleka hospitali so anahitaji pesa nyingi za kuweka guarantee hospitali. Regina na kaka Mengi wakaongea na Md wa Bonite kuwa atoe pesa ziende Dubai kwa Jacky, apparently Bonite ndio bishara kubwa pekee aliyobaki nayo Mengi, ITV ina miezi hawalipi mishahara sababu Hakuna kitu, January mwaka huu Mengi kafunga migodi yake yote. Eatv and Radio zinaji run tu ila money maker kubwa ni Bonite. Basi pesa ikatokq Jacky akatumiwa. . . Mzee akiwa hospitali Jacky akawaambia kina Regina kuwa Mengi anahitaji kuwekewa Pace Maker Regina na kaka wa Mengi wakagoma kabisaaa ila Jacky aka insist aekewe pace maker. Mzee akaekewa pace make, kesho yake Jacky akapeleka message Tz kuwa Mzee anaendelea vizuri sana. Huku nyuma Kimya kimya Regina na Kaka wa Mengi wakapanda ndege mpaka Dubai kufika Dubai wakampigia Jacky wakamwambia we are here tunatakaka tukamuone mgonjwa, Jacky ndo kuwaambia ukweli kuwa Mengi yuko ICU for 2 whole days amepata cardiac arrest akawaambia baada ya kuwekewa pace maker Mengi aliruhusiwa kutoka hospitali ila baadae Jacky anasema Mengi alianza kubleed ghafla.Sasa kina Regina wakapaniki kwa nini aliwadanganya? Jacky hapo hapo akabadili number ya simu wakawa hawampati bahati nzuri mwanzoni wakati anaomba wamtumie pesa aliwaambia Bonite jina la hospitali aliyokazwa Mengi ndo wale wakaenda hospitali kumtafuta baba yao.

A post shared by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on

She also pointed out that Jacqueline has an affair with a man named Hussein who she was with in Dubai when her husband was recuperating at the hospital.

View this post on Instagram

Part 2. . . Jacky hajui wale wako hospitali na mhonjwa wao. Kule hospitali Regina na kaka ya Mengi wakaambiwa na madoctor mzee amepata cardiac arrest na mapafu yamejaa Damu hawezi kupona. Kina Regina wakaa na mzee toka asubuhi siku nzima huko ICU , usiku Jacky ndo anaingia ICU kumuona mgonjwa , hakujua wale watakuwa wameenda hospitali.Ndo baadae mzee akafariki . . Sasa basi familia ya Mengi wanaamini Jacky ana mkono kwenye kifo cha mzee coz apparently Jacky yupo deeply in love na mmoja wa owners wa elements anaitwa Hussein. Unaamwabiwa hao kina Hissein ni mafia kishenzi. Huyu Hussein ndo alikuwaga owner wa nywele za Darling. Sasa wanadai Jacky wanted out ili awe na huyu mtu wake ila alitaka pia aondoke na mali ya Mengi. Kudadadekiiiii mnaambiwa Mengi kamwandikia Jacky 50% of everything he owns. So familia inaamini Jacky ameshirikiana na Hussein wa elements kumdedisha Mengi ili asepe na Mali akaolewe huyo Hussein. Wanadai huyo Hussein pia alikuwepo Dubai na Jacky, Yani wakati Mengi yupo ICU Jacky yupo na Hussein. . . Mnaambiwa issue ya Klyn na huyo Hussein mpaka wafanyakazi wanajua. So wanadai ndo maana hizi last few months Jacky akatengeneza movie kuwa wako so in love mpaka Jacky kwa mara ya kwanza akaenda kwenye maredio kufanya interview kuwa anampenda Mengi etc ili whatever happens hawezi kuwa suspect. Damn this sounds like a whole movie au Investigation Discovery (ID), mi sijui ukweli ni upo ni nawapa side ya family ya Mengi. Sim judge mtu. . . Mnaambiwa the last few months za maisha ya Mengi Jacky kamsumbua mzee balaa.Akawa anataka 2M $ mzee ampe aweke sexurity ya watoto mnaambiwa mzee Mengi anasumbua ma MD wa kampuni zake wamkusanyie 2M $ . Ma MD wanamwambia mzee hizo pesa hakuna hali mbaya ndo kina Regina na Kaka wa Mengi kuona hapa kuna tatizo wakafungua kesi mahakamani wakawa wanataka legal guardianship ya Mengi waki claim kuwa Mengi anaumwa na hayuko sawa kufanya descision zozote za kibiashara au will. . . Mnaambiwa Mengi mpaka akawa anakopa cash ili akeep up na lifestyle ya mke wake. Mengi has a lot of assets ila cash hana. Yani hata huko Dubai tatizo lilivyotokea ilibidi $$ zitoke Bonite. . . PS: Naingia kulala, mengine ntamalizia asubuhi.

A post shared by Mange Kimambi (@mangekimambi_) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *