‘Promoters wa huko ni utumbo sana’ Tanzanians warn Rayvanny ahead of Kenya concert

Image may contain: one or more people, people standing and outdoor

The Tanzania Wasafi crew have been disappointing their Kenyan fans by canceling their shows. They have been hyping up the shows before the actual date but as the day arrives, they end up canceling it.

The ‘Tetema’ hitmaker, Rayvanny, has announced that he will be performing in Kenya on 3rd of May, 2019. He has been invited to perform during the grand opening of a lounge at Lavington Nairobi.

He shared the news through his Instagram account where he wrote; “ooh!!!Nairobi 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kenya!!!!! this is Tetema B- concept official opening of Gosip Ultra Lounge lets link up 3/5/2019 at Lavington mall 5th Floor ….. don’t miss out.”

Image may contain: 1 person, text

His concert comes after his fellow musician, Mbosso, canceled his Malindi show. He explained through his Instagram account as to why he failed to perform.

He said; “Mapema sana Asubuhi ya jana nilipost Clip yangu ya kuonyesha nikiwa safarini kutoka Dare es Salaam Tanzania kuja Malindi Kenya, nilikuwa mtu mwenye furaha Sana kuonyesha ni kiasi gani ninashauku ya kufika kuimba na kufurahi na mashabiki zangu wa Malindi Kenya ..

Ila Mambo yakaenda tofauti kutokana na makubaliano waliofanya baina ya waandaaji wa show na Management Yangu kwenye upande wa malipo kutotimiza ahadi zao na kwenda kinyume na tofauti na walivyokubaliana na kusainishana kwenye mikataba na uongozi Wangu, hivyo basi management yangu haikuweza kuniruhusu kufanya show pasipo kukamilika kwa malipo waliokubaliana.

Image may contain: 1 person


Sana Mashabiki wangu Muliotoka Sehemu mbalimbali kuja kujumuika nami najua ni kiasi gani mmejisikia vibaya ila sikuwa na budi nilazima nifate kanuni za uongozi , ila Ukweli ni kuwa waandaaji wa show hawakutaka na hawakuonyesha nia yakutaka kulipa pesa iliyobakia kama malipo kutokana na makubaliano na uongozi wangu.

Image may contain: 1 person, sitting

Tafadharini sana waandaaji wa shows, jitahidini kukamilisha malipo ya msanii kama mulivyokubaliana na uongozi wake maana munatuingiza kwenye Changamoto kubwa sana na mashabiki zetu.”

Image may contain: 1 person, sitting and shoes

Harmonize also had failed his fans after he failed to perform at Eldoret late last year. Explaining as to why he had failed to, he said; “Kilichonisikitisha ni promoters kuchukua pesa za watu wasio pungua 4000k then wakashindwa kuja kumalizia payment iliyobaki na kukimbia hii inaumiza sana.”

The event organizer, Shado Event Initiative CEO Douglas Obobe Maini was arrested for failing to pay the artist, hence leading to the chaos at the festival.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *