Exposed! Diamond’s father is not ailing

Diamond’s father, Abdul Juma was said to be ailing, allegations which were proved to be true after photos of his ailing legs went viral. Diamond’s half sister, Zubeida who lives at United Kingdom, landed at Tanzania following the news that their father was unwell. She called on Diamond to stop abandoning him at this moment he needs him most.

However, Diamond’s sister, Queen Darleen has opened up and denied the allegations that their father is ailing. She said the photos which went viral showing Mzee Jumaa ailing legs were taken back in 2005. She narrated; ”

So juzi tu nimezungumza naye kama week hivi limepita. Unajua mara ya mwisho nimeongea naye baada ya Yule dada wa Kizungu kuja nyumba na kusema kuwa hatumsaidii, lakini ukweli ni kwamba mimi na Mzee Abdul tunaongea vizuri.

Kwanza zile picha ambazo zilikuwa zinarushwa mtandaoni zilikuwa za mwaka wa 2005, hata mimi mwenye niliziona zikanibore sana. kwa hivyo sio kwamba baba anaumwa sasa ivi, hiyo ilikuwa kitambo, na hata alitakiwa kwenda South Africa wakati ule lakini mwenyewe akazingua. Lakini sisi na Mzee tunamwelewa vizuri.”

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *