Harmonize says the ‘disabled ‘will  be the first to bless his EP with Burna Boy

 

 

WCB Star Harmonize has shared his plan to launch his EP together with the disabled.

The Singer said that it is his wish  join them for a meet up so that they can be the first people to bless his work.

Harmonize has made it clear that he is willing to support them  and  cater for some of their needs in accordance to their ability.

The event was scheduled for today but the bongo star could not make it leading to the decision to postpone.

Harmonize revealed on his Instagram page that  he will be meeting them up on Friday 8th February.

The Singer jetted back in the country after he went for the video recording of his new tracks with Burna boy.

The duo have been working on this projects for months now and be assured that this will be the new flame in the music industry.

Are you ready for Harmonize- Burna Boy EP?

 

 

harmonize_tz

Kwanza Niwaombe radhi nduguzangu walemavu na wenye uhitaji mbali mbali kwa usumbufu uliojitokeza jana sikuweza tokea pale #MBAGALAZAKIHM kama nilivyo ahidi kuwa nyie ndio mtakuwa wakwanza kuibariki #AFROBONGO huku tuki tatuliana baadhi ya mambo kadha…!!! kutokana na Sababu zilizopo nje ya uwezowangu sikuweza fanya hivyo siku ya jana Nirudie tena..!! Niwiieni radhi Ndugu zangu…!!!! ?? ila panapo majaliwa yake M/Mungu kesho mapema majira ya saa 11 : 00 asubuhi nitakuwa hapo kuonana nanyi ndugu zangu wenye uhitaja Mbali mbali nimalizie kwakusema tunatambua wenye uhitaji ni wengi na hutuwezi wafikia wote ila atakaotubariki Mungu basi ndio hao hao kwa siku ya kesho Mungu kawachagua ……!!!! Tumepokea idadi kadha nasi tutaijikuna tunapoweza kama ukipata taarifa hii na ulikuwa katika orodha yetu basi kwa heshima na taadhim naomba nikusumbue tena siku ya kesho…..!!!! Ndugu yangu mwenye uhitaji ? #WCB4LIFE ❤ #AFROBONGO to da ? …..!!!!

 

View this post on Instagram

 

Kwanza Niwaombe radhi nduguzangu walemavu na wenye uhitaji mbali mbali kwa usumbufu uliojitokeza jana sikuweza tokea pale #MBAGALAZAKIHM kama nilivyo ahidi kuwa nyie ndio mtakuwa wakwanza kuibariki #AFROBONGO huku tuki tatuliana baadhi ya mambo kadha…!!! kutokana na Sababu zilizopo nje ya uwezowangu sikuweza fanya hivyo siku ya jana Nirudie tena..!! Niwiieni radhi Ndugu zangu…!!!! ?? ila panapo majaliwa yake M/Mungu kesho mapema majira ya saa 11 : 00 asubuhi nitakuwa hapo kuonana nanyi ndugu zangu wenye uhitaja Mbali mbali nimalizie kwakusema tunatambua wenye uhitaji ni wengi na hutuwezi wafikia wote ila atakaotubariki Mungu basi ndio hao hao kwa siku ya kesho Mungu kawachagua ……!!!! Tumepokea idadi kadha nasi tutaijikuna tunapoweza kama ukipata taarifa hii na ulikuwa katika orodha yetu basi kwa heshima na taadhim naomba nikusumbue tena siku ya kesho…..!!!! Ndugu yangu mwenye uhitaji ? #WCB4LIFE ❤ #AFROBONGO to da ? …..!!!!

A post shared by KONDEBOY (@harmonize_tz) on

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *